Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kirufiji

Kirufiji (au Kiruihi) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Warufiji. Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kirufiji imehesabiwa kuwa watu 200,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kirufiji iko katika kundi la P10.


Previous Page Next Page






Rufiji language English Lenga Rufiji PMS

Responsive image

Responsive image