Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kisiwa cha Mafia

Visiwa vikubwa vya Tanzania (Zanzibar, Pemba, Mafia).

Mafia ni funguvisiwa la Tanzania, pamoja na jina la kisiwa kikubwa ndani yake, linalotazama mwambao wa Afrika ya Mashariki km 130 kusini kwa Dar es Salaam karibu na mdomo wa Mto Rufiji.

Umbali wake na bara ni km 16.

Kisiwa kikuu kiko katika Bahari ya Hindi, kikiwa na urefu wa km 49 na upana wa km 16; eneo lake ni takriban km² 400. Inajulikana pia kwa jina "Chole shamba" kutokana na mji wa kale wa Chole uliokuwepo kwenye kisiwa kidogo cha Chole kilichopo karibu na kisiwa kikuu kwa umbali wa mita 900.


Previous Page Next Page






جزيرة مافيا Arabic Mafia AVK Мафія (востраў) BE Мафия (остров) Bulgarian Mafia Catalan Mafia Island CEB Mafia (ostrov) Czech Mafiaøen Danish Mafia (Insel) German Νήσος Μαφία Greek

Responsive image

Responsive image