Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kisiwa cha Man

Kisiwa cha Man (nyekundu) katika ramani ya funguvisiwa la Britania.

Kisiwa cha Man (kwa Kimanx: Ellan Vannin; kwa Kiingereza: Isle of Man) ni kisiwa kilichopo baharini kati ya Uingereza na Eire chenye wakazi 75,000 kwenye eneo la km² 572.

Man ni eneo chini ya taji la Uingereza, si sehemu ya Ufalme wa Muungano wenyewe.

Douglas ni mji mkuu.

Lugha rasmi ni Kiingereza pamoja na Kimanx ambacho ni lugha ya Kikelti. Hakuna tena wasemaji wa Kimanx kama lugha ya kwanza, lakini inafundishwa shuleni.


Previous Page Next Page






Pulo Man ACE Man (eiland) AF Isle of Man ALS አይል ኦፍ ማን AM Isla de Man AN Manieg ANG आइल ऑफ मैन ANP جزيرة مان Arabic جزيرة مان ARZ Islla de Man AST

Responsive image

Responsive image