Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kitabu cha Zaburi

Kitabu cha Zaburi kwa Kiebrania.
"Mfalme Daudi aandikisha zaburi"; Funiko la Kitabu cha Zaburi kutoka karne ya 11; kazi ya uchongaji wa meno ya ndovu.

Kitabu cha Zaburi ni kimojawapo kati ya vitabu vya Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) na kwa hiyo pia vya Agano la Kale ambalo ni sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


Previous Page Next Page






Psalms AF መዝሙረ ዳዊት AM Salmos AN سفر المزامير Arabic ܡܙܡܘܪܐ ARC سفر المزامير ARZ Məzamir AZ Зәбур BA Buach der Psalmen BAR Buku Psalmen BBC

Responsive image

Responsive image