Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kiungulia

Kiungulia (kwa Kiingereza heartburn) ni hali ya kusikia maumivu makali katika koo la chakula.

Maumivu hayo yanatokana na kupanda kwa asidi iliyomo tumboni (asidi haidrokloriki = HCl) inayofanya kazi ya kuua vijidudu vinavyoingia tumboni kwa njia ya chakula na maji.

Mara nyingi kiungulia kikatokea baada ya tumbo kujaa gesi.

Kiungulia kinaweza kuwa na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kula kwa pupa au kupita kiasi, matumizi ya dawa za kulevya, ujauzito, tumbo kujaa gesi, vidonda vya tumbo n.k.


Previous Page Next Page






حرقة الفؤاد Arabic Пякотка BE Bibis BJN বুকজ্বালা Bengali/Bangla Pirosi Catalan Pálení žáhy Czech Sodbrennen German މޭ އެންދުން DV Heartburn English Pirozo EO

Responsive image

Responsive image