Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kordofan Kusini

Ramani ya Kurdufan Kusini

Kordofan Kusini ni mojawapo kati ya majimbo 18 ya Sudan.

Eneo lake ni kilomita za mraba 158,355 na mwaka 2010 wakazi milioni 2.5 zilihesabiwa hapa. Mji mkuu ni Kadugli.

Sehemu kubwa ya mashariki ya jimbo ni Milima ya Nuba ambayo ni nyumbani ya Wanuba.

Makala hii kuhusu maeneo ya Sudan bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kordofan Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page