Livorno | |
Majiranukta: 43°33′00″N 10°19′00″E / 43.55000°N 10.31667°E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Toscana |
Wilaya | Livorno |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 159 431 (28−02−2,015) |
Livorno ni mji wa Italia katika mkoa wa Toscana.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 160,000 wanaoishi katika mji huo.
Mji upo mita 3 juu ya usawa wa bahari. Bandari yake ni muhimu.