Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Lugha za Kikushi

Uenezi wa lugha za Kikushi leo (katika rangi ya kahawia iliyokolea).
Lugha za Kiafrika-Kiasia mnamo 500 KK[1]

Lugha za Kikushi ni kati ya lugha za Kiafrika-Kiasia. Zinatumika hasa katika Pembe la Afrika na nchi za jirani, kuanzia Misri na Sudan hadi Kenya na Tanzania, lakini zamani zilitumika katika maeneo makubwa kuliko leo.

Jina linatokana na Kush, mtu wa Biblia anayetajwa kama babu wa makabila ya aina hiyo.

Leo lugha kubwa zaidi katika kundi hilo ni Kioromo (35,000,000), kikifuatwa na Kisomali (18,000,000). Baadhi yake zimeshakufa.

  1. Miller, Catherine; Doss, Madiha (1996-12-31). "Nubien, berbère et beja: notes sur trois langues vernaculaires non arabes de l'Égypte contemporaine" [Nubian, Berber and beja: notes on three non-Arabic vernacular languages of contemporary Egypt]. Égypte/Monde Arabe (kwa French) (27–28): 411–431. doi:10.4000/ema.1960. ISSN 1110-5097. {{cite journal}}: Unknown parameter |name-list-format= ignored (|name-list-style= suggested) (help)CS1 maint: unrecognized language (link)

Previous Page Next Page