Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Madhehebu

Dini na madhehebu yake leo ulimwenguni

Madhehebu (kutoka Kiarabu مذهب madhhab) ni mafundisho, maadili na matendo ya ibada yaliyo ya msingi katika dini fulani.

Hutumiwa pia kutaja makundi ndani ya dini fulani ambayo yanatofautiana bila ya kuvunja umoja wa msingi.

Historia inashuhudia hata leo kwamba madhehebu mbalimbali ya dini ileile yanaweza kushindana hata kupigana vita.


Previous Page Next Page