Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mahindi

Masuke ya aina mbalimbali za mahindi.

Mahindi ni mbegu za mmea wenye asili ya Amerika ambao unaitwa mhindi na chakula muhimu cha watu katika pande nyingi za dunia.

Ni nafaka yenye wanga na katika Afrika ya Mashariki huliwa hasa kama ugali. Ugali unatengenezwa kwa kutumia unga wa mahindi.

Mahindi mabichi yasiyokauka huliwa pia kwa kubanika suke lote juu ya moto.

Mahindi yaliyosagwa hutumiwa pia kwa kutengeneza pombe ya kienyeji.


Previous Page Next Page








Responsive image

Responsive image