Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Majira

Majira yasiyo ya mvua huko Maharashtra, India
Majira ya mvua huko Maharashtra, India.

Majira (kutoka neno la Kiarabu) au msimu ni sehemu ya mwaka ambayo ina tabia za pekee upande wa hali ya hewa.

Katika Dunia, majira yanapatikana kutokana na sayari hiyo kuligunzuka Jua na kuwa na mhimili usio wima.

Katika Afrika Mashariki mara nyingi yanajitokeza zaidi majira mawili ambayo ni majira ya mvua na kiangazi.

Katika maeneo yaliyo mbali na ikweta yanahesabika majira manne: majira ya kuchipua, majira ya joto, majira ya kupuputika majani na majira ya baridi.


Previous Page Next Page






Seisoen AF فصول السنة Arabic ܫܘܚܠܦܐ ܕܫܢܬܐ ARC ঋতু AS Estación del añu AST ЛъагӀалил заманаби AV Fəsil AZ فصل AZB Metu laikā BAT-SMG Пара года BE

Responsive image

Responsive image