Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Malaika mkuu

Mchoro wa Guido Reni ukionyesha ushindi wa malaika mkuu Mikaeli dhidi ya Shetani, 1636.

Malaika mkuu (kwa Kigiriki ἀρχάγγελος arkh+angelos)[1] ni jina la heshima kwa baadhi ya malaika wenye hadhi ya juu kati ya viumbe vya kiroho.

Msingi wa imani hiyo ni kwamba kila malaika ameumbwa peke yake na tofauti na wengine wote, na kwamba katika kumtumikia Mungu aliyewaumba wanashirikiana kwa ngazi.

  1. Online Etymology Dictionary

Previous Page Next Page