Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mimbari

Mimbari katika kanisa la Kipresbiteri huko California (Marekani).
Mimbari ya Kikatoliki huko Almenno San Salvatore (Bergamo, Italia).

Mimbari (au "marufaa" kutoka maneno ya Kiarabu; pia "ambo", kutoka jina la Kilatini) ni mahali pa kutangazia Neno la Mungu katika maabadi ya dini mbalimbali.

Umuhimu wake unatofautiana kadiri ya dini na ya madhehebu husika. Kwa mfano, upande wa Ukristo, katika Uprotestanti inashika nafasi ya kwanza ndani ya kanisa, wakati Ukatoliki unapendelea altare inapotolewa sadaka ya ekaristi, ingawa unataka sehemu hizo mbili zilingane kwa kuwa ni meza mbili ambapo Mungu anawalisha wanae kwanza Neno, halafu Mwili na Damu ya Kristo.


Previous Page Next Page






منبر قراءة Arabic Amvon AZ Амбон BE Амвон Bulgarian Ambó Catalan Ambon Czech Ambo German Ambon (liturgy) English Ambono EO Ambón Spanish

Responsive image

Responsive image