Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Mkia
Mkia ni sehemu ya mwisho ya uti wa mgongo kwenye mwili wa wanyama wengi wa vertebrata. Jina hilo latumiwa pia kwa wanyama wengine wenye upanuzi mwembamba wa mwili upande wa nyuma na pia kutaja sehemu nyembamba ya nyuma kwa vitu mbalimbali.