Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mkoa wa Arusha

Mkoa wa Arusha
Chimbuko la Binadamu
Mahali paMkoa wa Arusha
Mahali paMkoa wa Arusha
Mahali pa Mkoa wa Arusha katika Tanzania
Nchi Bendera ya Tanzania Tanzania
Wilaya 6
Mji mkuu Arusha
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa John Mongella
Eneo
 - Jumla 34,526 km²
 - Kavu 33,809 km² 
 - Maji 707 km² 
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 2,356,255[1]
  Jina la watu Arushan
Msimbo wa posta 23xxx
Tovuti:  http://www.arusha.go.tz/

Mkoa wa Arusha ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 23000, na ni wa pili kwa utajiri nchini.

Wakazi ni 2,356,255[2].

  1. https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/
  2. https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/

Previous Page Next Page