Mkoa wa Arusha Chimbuko la Binadamu |
|
Mahali pa Mkoa wa Arusha katika Tanzania | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | 6 |
Mji mkuu | Arusha |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | John Mongella |
Eneo | |
- Jumla | 34,526 km² |
- Kavu | 33,809 km² |
- Maji | 707 km² |
Idadi ya wakazi (2022) | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,356,255[1] |
Jina la watu | Arushan |
Msimbo wa posta | 23xxx |
Tovuti: http://www.arusha.go.tz/ |
Mkoa wa Arusha ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 23000, na ni wa pili kwa utajiri nchini.
Wakazi ni 2,356,255[2].