Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mkoa wa Pwani

Barabara ya Pwani
Mkoa wa Pwani katika Tanzania

Mkoa wa Pwani ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 61000.

Mkoa umepakana upande wa Kaskazini na Tanga, upande wa mashariki na Dar-es-Salaam na Bahari Hindi, upande wa kusini na mkoa wa Lindi na upande wa magharibi na mkoa wa Morogoro.

Makao makuu ya mkoa yako Kibaha.


Previous Page Next Page