Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mlima Meru

Mlima Meru, mwaka 2012.
Mlima Meru kutoka juu.
Kilele cha Mlima Meru.

Mlima Meru ni mlima wenye asili ya volkeno na urefu wa mita 4566 (futi 14980) juu ya usawa wa bahari. Mlima huo ni wa tano kwa urefu katika bara la Afrika.


Previous Page Next Page