Mnuvi | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mnuvi kusi (Chelidonichthys capensis)
| ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 9 na spishi 126, 22 katika Afrika:
|
Minuvi au panzi-bahari ni samaki wa baharini wa familia Triglidae katika oda Scorpaeniformes ambao wana mapeziubavu makubwa yanayowasaidia kuruka juu ya maji, lakini huumbia umbali mfupi kuliko panzi-bahari wengine wa familia Exocoetidae. Wanafanana na minuvi wa nusuoda Platycephaloidei.