Mpaka ni sehemu ambako kitu kinafikia mwisho wake. Mara nyingi neno hutumiwa kutaja mwisho wa eneo fulani, kama vile kiwanja, shamba au nchi.
Vieneo vya hisabati huwa pia na mpaka, kama vile maumbo ya kijiometria (mraba, duara) au seti. Vipindi vya wakati huwa na mpaka vilevile.