![]() |
Sehemu ya mfululizo kuhusu |
Mitaguso mikuu ya Kanisa Katoliki |
---|
![]() |
Mtangulizi (50 hivi) |
Roma ya Kale (325–451) |
Mwanzoni mwa Karne za Kati (553–870) |
Mwishoni mwa Karne za Kati (1122–1517) |
Nyakati za uvumbuzi mwingi (1545–) |
Mtaguso wa Kalsedonia (kwa Kiingereza: Council of Chalcedon) unahesabiwa na Wakristo wengi kuwa wa nne kati ya mitaguso ya kiekumene katika historia ya Kanisa.
Ulifanyika Kalsedonia (leo Kadıköy, sehemu ya jiji la Istanbul, Uturuki upande wa Asia) mwaka 451.