Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Muhammad

Mtume Muhammed jinsi alivyotengeneza Kaaba huko Makka - picha mnamo mwaka 1315 kutoka Asia ya Kati
Mtume Muhammed jinsi alivyosali mbele ya Kaaba - (katika picha za Kiosmani uso wa mtume hufichwa mara nyingi tangu karne ya 16 BK)

Muhammad (kwa Kiarabu "Mwenye kusifika sana"; jina kamili kwa kirefu ni
محمد بن عبد الله بن عبد ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī; 570 hivi - 8 Juni 632) anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu (Allah) kwa binadamu.


Previous Page Next Page






Muhammad ACE Тхьэлӏыкӏо Мыхьэмэт ADY Mohammed AF Mohammed ALS መሐመድ AM Mahoma AN Mahomet ANG मुहम्मद ANP محمد Arabic ܡܘܚܡܕ ARC

Responsive image

Responsive image