Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Muleba

Muleba
Muleba is located in Tanzania
Muleba
Muleba

Mahali pa Muleba katika Tanzania

Majiranukta: 1°50′26″S 31°39′22″E / 1.84056°S 31.65611°E / -1.84056; 31.65611
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Muleba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 25,585
Ramani ya Muleba mjini

Muleba ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Muleba katika Mkoa wa Kagera, Tanzania, yenye postikodi namba 35501 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 25,585 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,464 waishio humo.[3]

Kaigara shule ya msingi na Rubungo shule ya msingi ni kati ya shule maarufu sana zilizokuwepo tokea zama za ukoloni; shule hizo zilikuwa na upinzani wa jadi katika taaluma na michezo na wanafunzi wa shule nyingine waliwaogopa sana wanafunzi kutoka shule hizo.

Aliyekuwa waziri wa ardhi nyumba na makazi Anna Tibaijuka alisoma Kaigara Shule ya Sekondari enzi za ukoloni.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01.
  2. https://www.nbs.go.tz, uk 172
  3. Sensa ya 2012, Kagera - Muleba-District-Council

Previous Page Next Page






Muleba (Tansania) German Muleba Italian

Responsive image

Responsive image