Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mumia

Mumia (kutoka Kiarabu مومياء mumia; pia: mumiani; kwa Kiingereza: mummy) ni maiti wa binadamu au mzoga wa mnyama iliyokauka bila kuoza. Hali hiyo inaweza kutokea kiasili katika mazingira maalumu au kwa kutumia mbinu fulani. Mchakato wa kuoza huzuiwa na baridi kali, katika mazingira yabisi (pasipo na unyevu hewani) na mwendo wa hewa, kwa kukosa oksijeni au kwa kutumia kemikali fulani.


Previous Page Next Page






Mummie AF مومياء Arabic موميا ARZ মামী AS Momia AST Mumiya AZ Мумія BE Мумия Bulgarian মমি Bengali/Bangla Balzamegenn BR

Responsive image

Responsive image