Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Mwaka wa Lugha wa Kimataifa
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa na Umoja wa Mataifa katika azimio lililopitishwa tarehe 16 Mei 2007.[1][2]
Mwaka huo, mpango wake ni kujadili mambo ya wingi wa lugha, haki za lugha zote, na mazingira ya kutumia lugha tofauti. Azimio la kutangaza mwaka huo linataja pia shida za lugha ndani ya Umoja wa Mataifa wenyewe.[3]