Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mwiba

Miba katika tawi la Rubus fruticosus.

Mwiba ni sehemu ndogo tena nyembamba ya mmea au ya mti ambayo ina ncha kali inayoweza kuchoma.

Pia ni mfupa wa samaki wenye ncha kali kwenye mapezi au uti wa mgongo.

Hatimaye ni kitu chochote chenye ncha kali nayochoma kwa mfano wa vile vilivyotajwa hapa juu.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwiba kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page






Puncha AN شوك النبات Arabic Escayu (botánica) AST Akstėns BAT-SMG Spern BR Trnovi, bodlje i bodljice BS Espina (botànica) Catalan Trn (botanika) Czech Torn Danish Dorn (Botanik) German

Responsive image

Responsive image