Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mzigo

Mzigo ni kitu chochote ambacho kinafungwa na kubebwa.

Kutokana na maana hiyo asili, neno linaweza kumaanisha jambo ambalo linatatiza au kukwaza, au mtu ambaye hashauriki wala kuambilika, hivyo amekuwa tatizo kwa jamii yake.


Previous Page Next Page








Responsive image

Responsive image