Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Ottawa

Ottawa, Kanada





Ottawa

Bendera
Ottawa is located in Kanada
Ottawa
Ottawa

Mahali pa Ottawa katika Kanada

Majiranukta: 45°25′15″N 75°41′24″W / 45.42083°N 75.69000°W / 45.42083; -75.69000
Nchi Kanada
Mkoa Ontario
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 812,129
Tovuti:  http://www.ottawa.ca/
Barabara ya Elgin mjini Ottawa
Majengo ya Bunge la Kanada

Ottawa ni mji mkuu wa Kanada ikiwa ndani ya eneo la jimbo la Ontario. Mji uko kusini ya mto Ottawa. Mwaka 2004 ilikuwa na wakazi 800,000 mjini, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 1,146,790.

Ottawa ni mji mkubwa wa nne katika Kanada. Wakazi walio wengi hutumia Kiingereza lakini takriban theluji moja ni wasemaji wa Kifaransa kama lugha ya kwanza.

Mto Ottawa wakati wa usiku

Previous Page Next Page






Ottawa ACE Оттава ADY Ottawa AF Ottawa ALS ኦታዋ AM Ottawa AN Ottawa ANG أوتاوا Arabic أوطاوا ARY اوتاوا ARZ

Responsive image

Responsive image