Ottawa | |||
| |||
Mahali pa Ottawa katika Kanada |
|||
Majiranukta: 45°25′15″N 75°41′24″W / 45.42083°N 75.69000°W | |||
Nchi | Kanada | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Ontario | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 812,129 | ||
Tovuti: http://www.ottawa.ca/ |
Ottawa ni mji mkuu wa Kanada ikiwa ndani ya eneo la jimbo la Ontario. Mji uko kusini ya mto Ottawa. Mwaka 2004 ilikuwa na wakazi 800,000 mjini, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 1,146,790.
Ottawa ni mji mkubwa wa nne katika Kanada. Wakazi walio wengi hutumia Kiingereza lakini takriban theluji moja ni wasemaji wa Kifaransa kama lugha ya kwanza.