Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Paradiso

Nicolas Poussin, Majira ya kuchipua katika mfululizo wa Majira manne ya paradiso, 16601664.
Paradiso kadiri ya Jan Bruegel.

Paradiso (kwa Kigiriki παράδεισος paradeisos kutoka Kiajemi cha zamani: پردیس, *paridayda- "eneo lililozungukwa na uzio" au bustani) ni jina la mahali pa amani kamili palipo tarajio kuu la waumini wa dini mbalimbali. Dini za Abrahamu zinatumia jina hilo la Edeni / Paradiso, linaloonyeshwa katika Kitabu cha Mwanzo cha Biblia kama mahali pa uumbaji wa binadamu, na hivyo kuchukuliwa kama kielelezo cha ulimwengu wa kabla ya dhambi ya asili, na vilevile kwa ule unaotarajiwa kuwepo milele.

Neno "paradiso" limeenea katika lugha nyingi (paradis, paradisus, paradise n.k.). Lilitumiwa katika tafsiri ya Kigiriki ya Biblia kwa kutafsiri neno la Kiebrania "Bustani ya Edeni" (גן עדן Gan Eden)[1]

  1. Mwa 2:8: "Mwenyezi-Mungu akapanda bustani huko Edeni, upande wa mashariki, na humo akamweka huyo mwanamume aliyemuumba"

Previous Page Next Page






Paradiso AN فردوس (جنان) Arabic Cənnət AZ Ожмах BA Paraiso BCL Рай BE Рай BE-X-OLD Рай Bulgarian স্বর্গোদ্যান Bengali/Bangla Baradoz BR

Responsive image

Responsive image