Portland | |||
| |||
Mahali pa mji wa Portland katika Mareani |
|||
Majiranukta: 45°31′12″N 122°40′55″W / 45.52000°N 122.68194°W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Oregon | ||
Wilaya | Multnomah | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 575,930 | ||
Tovuti: http://www.portlandonline.com/ |
Portland ni mji wa Marekani katika jimbo la Oregon. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 2.2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 15 kutoka juu ya usawa wa bahari.