Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Ramses II

Sanamu yake huko Abu Simbel.
Ramses II akiwa mtoto (Cairo Museum).
Ramses II katika mapigano ya Khadesh.
Kigae cha amani na Hattusili III wa Hatti, Istanbul Archaeology Museum.

Ramses II au Rameses Mkuu au Sese (1303 hivi - Julai au Agosti 1213 KK)[1] alikuwa Farao wa Misri miaka 12791213 KK, wa tatu katika Nasaba ya 19 ya Misri ya Kale.

Mara nyingi anasifiwa kama Farao bora. Waandamizi wake na Wamisri wa baadaye walimuita "Mzee Mkuu".

Ramses II aliongoza majeshi yake mara kadhaa hadi Asia, ili kusisitiza himaya ya Misri juu ya Kanaani, lakini pia kusini hadi Nubia.

Tena alishughulikia sana ujenzi wa miji n.k. Pia kwa sababu hiyo, wengi wanaona ndiye Farao aliyepambana na Musa kadiri ya Biblia.

  1. "Ramses". Webster's New World College Dictionary. Wiley Publishing. 2004.

Previous Page Next Page