Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Rasi ya Iberia

Rasi ya Iberia jinsi inavyoonekana kutoka anga ya nje

Rasi ya Iberia ni kati ya rasi kubwa za Ulaya ikiwa na eneo la km² 582,860. Iko kusini magharibi mwa Ulaya ikipakana na Bahari Atlantiki upande wa kaskazini na magharibi, halafu Bahari Mediteranea upande wa kusini na mashariki.

Milima ya Pirenei ni mpaka kati ya rasi na Ufaransa (Ulaya ya magharibi).

Iberia ni jina la kale tangu zamani za Waroma wa Kale.


Previous Page Next Page