Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Sarafu (mfumo)
Bao la ofisi ya kubadilisha sarafu
Sarafu (ing.: currency) kwa maana ya kisasa ni utaratibu uliopo katika nchi fulani au jumuiya ya nchi zenye pesa ya pamoja unaotawala utoaji na matumizi ya sarafu na benknoti katika eneo hili.