Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Shayiri

Shayiri
(Hordeum vulgare)
Shayiri
Shayiri
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja tu)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama kongwe)
Oda: Poales (Mimea kama nyasi)
Familia: Poaceae (Mimea iliyo na mnasaba na nyasi)
Jenasi: Hordeum
Spishi: H. vulgare

Shayiri (kutoka Kiarabu شعير; kwa Kiingereza: "barley") ni mmea wa familia ya nyasi katika ngeli ya monokotiledoni.

Mbegu au punje za shayiri ni nafaka.

Kihistoria ilikuwa chakula muhimu cha watu, lakini siku hizi hulimwa zaidi kama chakula cha wanyama.

Hata hivyo inaungwa katika mkate na ni sehemu ya chakula cha kawaida cha watu katika nchi za Ulaya ya Mashariki.

Inahitajiwa pia kwa ajili ya vinywaji mbalimbali kama bia au maji ya shayiri inayopendwa huko Japani.

Kwa jumla shayiri inavumilia chumvi katika ardhi kuliko ngano lakini haivumilii baridi kama aina kadhaa za ngano.

Walimaji wakuu wa shayiri (2005)
 Nafasi  Nchi  Mavuno 
(kwa t elfu)
 Nafasi  Nchi  Mavuno 
(kwa t elfu)
   1 Urusi    15.773    9 Marekani    4.620
   2 Kanada    12.133    10 Hispania    4.448
   3 Ujerumani    11.722    11 Denmark    3.730
   4 Ufaransa    10.357    12 Poland    3.461
   5 Ukraine    9.000    13 China    3.350
   6 Uturuki    9.000    14 Uajemi    2.900
   7 Australia    6.640    15 Ucheki    2.280
   8 Uingereza    5.545     Dunia    139.044

Previous Page Next Page






Gars AF Gerste ALS ገብስ AM Hordeum vulgare AN Bere ANG जौ ANP شعير Arabic ܣܥܪܬܐ ARC شعير ARZ Hordeum vulgare AST

Responsive image

Responsive image