Sokwe Mtu | ||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Sokwe mtu wa kawaida (Pan troglodytes) katika bustani ya wanyama
| ||||||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||||||||
Spishi 2:
| ||||||||||||||||||||||||
Msambao wa (nusu)spishi za sokwe mtu: nyekundu - P. paniscus, buluu - P. t. schweinfurthii, zambarau - P.t. troglodytes, kijani - P.t. vellerosus, njano - P.t. verus.
|
Masokwe mtu ni wanyama wakubwa wa jenasi Pan katika familia Hominidae (masokwe wakubwa). Masokwe hawa wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.