Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Tabasco (jimbo)

Bendera ya Tabasco
Mahali pa Tabasco katika Mexiko

Tabasco ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kusini wa nchi. Imepakana na Veracruz, Chiapas, Campeche na nchi ya Guatemala.

Tabasco inahesabiwa kuwa sehemu ya shingo ya nchi ya Tehuantepec. Upande wa kaskazini ni pwani ya hori ya Campeche

Jimbo lina wakazi wapatao 1,989,969 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 25,267.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Villahermosa (kwa Kihispania: kitongoji sheshe).

Gavana wa jimbo ni Andrés Rafael Granier.


Previous Page Next Page






Tabasco AF Tabasco AN تاباسكو Arabic Tabasco AST Tabasco Istadu AY Табаска BE Табаска BE-X-OLD Табаско Bulgarian Tabasco BR Estat de Tabasco Catalan

Responsive image

Responsive image