Kata ya Tawa | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Morogoro |
Wilaya | Morogoro Vijijini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 12,166 |
Tawa ni kata ya Wilaya ya Morogoro Vijijini katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67214.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 12,166 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,019 waishio humo.[2]
Wenyeji wa kata hiyo ni Waluguru. Kuna wakazi Wakristo na Waislamu wanaoishi kwa umoja na undugu.