Thenashara (pia thinashara) ni Kiswahili cha pwani kwa ajili ya namba kumi na mbili (12).
Asili ni Kiarabu "اثنا عشر" (ithnayn `ashara - ithnashara).
Kwa Kiswahili sanifu "kumi na mbili" imechukua nafasi yake lakini bado hutumika.