Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2017

Uchaguzi mkuu ulifanyika nchini Kenya tarehe 8 Agosti 2017 ili kumchagua Rais, wanachama wa Bunge la Kitaifa na Seneti. Uchaguzi huo uliambatana na uchaguzi wa mashinani nchini Kenya wa 2017 ambao ulichagua Magavana na wawakilishi katika serikali za ugatuzi

Makala hii kuhusu "Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2017" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.

Previous Page Next Page