Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Uhindi ya Kiingereza

Uhindi ya Kiingereza ni kipindi cha historia ambapo nchi za Bara Hindi ama zilitawaliwa na Uingereza moja kwa moja ama zilikuwa chini ya usimamizi wa Uingereza kama nchi lindwa.

Utawala huo ulienea juu ya nchi za leo za Uhindi, Pakistan, Bangladesh, Nepal na kwa muda pia juu ya Burma (Myanmar).

Utawala wa Kiingereza ulikuwa na vipindi viwili:

Vituo vya nchi za Ulaya huko Uhindi miaka 1501-1937

Previous Page Next Page