Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Uislamu nchini Zimbabwe

Uislamu kwa nchi
Kwekwe Mosque

Ujio wa Uislamu nchini Zimbabwe unarudi nyuma kabisa katika karne ya Hijri ya nne wakati Waislamu wanaanzisha imarati katika pwani ya Afrika Mashariki. Katika zama hizo wafanyabiasha wa Kiislamu walipanua biashara zao hadi maeneo ya ndani na kufikia Zambia katika zama za nasaba ya Omani Al Bu Said. . [1]

  1. http://mondediplo.com/1998/04/02africa

Previous Page Next Page