Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Utengule/Usongwe

Kata ya Utengule/Usongwe
Kata ya Utengule/Usongwe is located in Tanzania
Kata ya Utengule/Usongwe
Kata ya Utengule/Usongwe

Mahali pa Utengule Usongwe katika Tanzania

Majiranukta: 8°40′47″S 33°51′35″E / 8.67972°S 33.85972°E / -8.67972; 33.85972
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Mbeya Vijijini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 55,082

Utengule/Usongwe ni kata ya Wilaya ya Mbeya Vijijini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania. Kijiji cha Utengule kiko kilomita 16 kutoka Mbeya mjini kupitia Mbalizi.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 55,082 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 41,952 [2] walioishi humo. Msimbo wa posta ni 53208.

Mazingira ya Utengule pana mashamba ya kahawa na shamba kubwa ambalo ni mali ya Waswisi walioanzisha pia hoteli ya Utengule Country Club. Kuna kanisa na chuo cha Biblia cha Moravian.

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. "Sensa ya 2012, Mbeya - Mbeya DC" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-12.

Previous Page Next Page






Utengule Usongwe CEB Utengule Usongwe German Utengule Usongwe English Utengule Usongwe French Utengule Usongwe (Mbeya) Italian

Responsive image

Responsive image