Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Valle d'Aosta

Ngome ya Saint-Pierre, karne ya 13th,Valle d'Aosta
Mahali pa Valle d'Aosta katika Italia

Valle d'Aosta (kwa Kifaransa:Vallée d'Aoste; kwa Kiswahili: Bonde la Aosta) ni mkoa wenye kujitawala wa Italia. Ni mkoa mdogo kuliko yote kwa eneo (km² 3,263) na kwa idadi ya wakazi (126,935) na kwa sababu hiyo hauna wilaya ndani yake.

Mji mkuu wake ni Aosta.

Wakazi wengi wanaongea Kiitalia, lakini pia lahaja maalumu ya Kifaransa.


Previous Page Next Page






Aostatal ALS ቫሌ ዳኦስታ AM Val d'Aosta AN وادي أغشت Arabic Valle d'Aosta AST Valle d'Aosta AZ واله دائوستا AZB Lebah Aosta BAN Aosta Valley BCL Вале-д’Аоста BE

Responsive image

Responsive image