Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Viro

Sanamu yake.
Mt. Viro katika dirisha la kioo cha rangi.

Viro (pia: Wiro, Wera, Vira; karne ya 7Roermond, Uholanzi ya leo, 700 hivi) alikuwa mmonaki askofu kutoka Ireland au Britania, maarufu kwa umisionari wake kati ya Wafrisia. Pamoja na wenzake Plekelmi askofu na Odgeri shemasi alianzisha monasteri alimofariki[1].

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[2].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91588
  2. Martyrologium Romanum

Previous Page Next Page