Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Visiwa vya Falkland

'
Bendera ya Visiwa vya Falkland (Falkland Islands, Malvinas) Nembo ya Visiwa vya Falkland (Falkland Islands, Malvinas)
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Desire the right"
Wimbo wa taifa: "God Save the Queen"
Lokeshen ya Visiwa vya Falkland (Falkland Islands, Malvinas)
Mji mkuu Stanley
51°42′ S 57°51′ W
Mji mkubwa nchini Stanley
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Eneo la ng'ambo la Uingereza
Elizabeth II wa Uingereza
Eneo la ng'ambo la Uingereza
Siku ya uhuru (Ushindi juu ya Argentina)
14 Juni 1982
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
12,173 km² (162)
0
Idadi ya watu
 - Julai 2008 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
3,140 [1] (217)
0.26/km² (240)
Fedha Falkland Islands pound (FKP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC-3)
Intaneti TLD .fk
Kodi ya simu +500



Kanisa kuu la Christchurch, Stanley.
Nyumba ya mkulima katika nyika za Falkland.

Visiwa vya Falkland (kwa Kiingereza: Falkland Islands; kwa Kihispania Islas Malvinas) ni funguvisiwa katika bahari ya Atlantiki ya kusini takriban km 450 mbele ya pwani ya Argentina.

Falkland ni eneo la ng'ambo la Uingereza linalodaiwa na Argentina kama sehemu yake. Hivyo mwaka 1982 jeshi la Argentina ilivamia visiwa vikuu. Uingereza ilijibu kivita ikapeleka wanajeshi huko na baada ya vita vifupi vya wiki 6 Argentina ilishindwa; takriban wanajeshi 1,000 waliuawa.

  1. "Falkland Islands (Islas Malvinas)". CIA. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-07-02. Iliwekwa mnamo 2010-03-05.

Previous Page Next Page