Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Visiwa vya Kanari

Comunidad Autonoma de
Canarias
Jimbo la Kujitawala la Visiwa vya Kanari
Miji Mikuu Santa Cruz de Tenerife
Las Palmas de Gran Canaria
Eneo


 - jumla
 - % za Hispania



7.447 km²
1,5%

Wakazi


 - jumla (2011)
 - % za Hispania
 - Msongamano wa watu



2,117,519
4,4%
280 ab./km²

Uwakilishi bungeni


 Nafasi za bunge la wananchi (Congresso)
 Nafasi kwenye bunge la majimbo (Senato)

 

14
2

Rais wa serikali ya Kanari Adán Martín Menis (CC)
Tovuti rasmi Gobierno de Canarias
Visiwa vya Kanari na Hispania

Visiwa vya Kanari (kwa Kihispania: Islas Canarias) ni funguvisiwa la Afrika ya Kaskazini katika bahari ya Atlantiki. Viko baharini km 150 magharibi kwa Moroko. Umbali na Hispania ni masaa mawili kwa ndege.

Visiwa vikubwa ni saba:

El Hierro, La Gomera, La Palma na Tenerife ambavyo vinaunda mkoa wa Santa Cruz de Tenerife,

halafu Gran Canaria, Fuerteventura na Lanzarote ambavyo vinaunda mkoa wa Las Palmas,

tena kuna visiwa vidogo sita vya Alegranza, Kisiwa cha Lobos, La Graciosa, Montaña Clara, Roque del Este na Roque del Oeste, vyote vya mkoa wa Las Palmas.


Previous Page Next Page