Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wafilisti

Miji mitano ya Wafilisti: Gaza, Ashdod, Askalona, Ekron, na Gath.

Wafilisti (kwa Kiebrania: Plištim, "watu wa Plešt": jina hilo linapatikana mara 286 katika Biblia ya Kiebrania, kati yake mara 152 katika 1 Sam) walikuwa kabila la watu wa Ulaya Kusini Mashariki ambao walivuka Bahari ya Kati.

Kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.


Previous Page Next Page






Filistyne AF فلستيون Arabic ܦܠܫܬ ARC فلستيون ARZ Filisteos AST Filistinlilər AZ Philista BAR Філістымляне BE Филистимци Bulgarian পলেষ্টীয় Bengali/Bangla

Responsive image

Responsive image