Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wakisii

Wakisii (hujulikana pia kama Abagusii au Gusii) ni kabila la Kibantu ambao hukaa katika kaunti ya Kisii na kaunti ya Nyamira, magharibi mwa Kenya.

Kisii - mji unaojulikana na wakazi wake kama Bosongo au Getembe - uko kusini magharibi mwa Kenya na ni nyumbani kwa watu wa asili ya Gusii. Jina Bosongo liliaminiwa kutokana na jina Abasongo (kwa maana ya Wazungu) ambao waliishi katika mji wakati wa ukoloni.

Mwaka 2014 walikadiriwa kuwa 3,205,669.


Previous Page Next Page






Kisii (Volk) German Kisii people English Gusioj EO Pueblo kisii Spanish Gusii (peuple) French グシイ族 Japanese Гусилер KK Kisiy (vahoaka ao Kenia) MG Kisii (folk) NB Gusii Polish

Responsive image

Responsive image