Wapangwa ni kabila la watu kutoka Milima Livingstone karibu na pwani ya mashariki ya Ziwa Nyasa, wilaya ya Ludewa, Mkoa wa Njombe, kusini mwa nchi ya Tanzania.
Mwaka 2002 idadi ya Wapangwa ilikadiriwa kuwa 150,000.
Lugha yao ni Kipangwa.