Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wasongora

Wasongora (pia: Washongora, Wahuma) ni kabila linaloishi magharibi mwa Uganda na mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ni mchanganyiko wa Wabantu na Waniloti.

Lugha yao ni Kisongora (wao wanasema Lusongora) ambayo inafanana na Kinyankore.

Tangu zamani ni wafugaji wa ng'ombe.

Leo wanakadiriwa kuwa 25,000 upande wa Uganda na wachache zaidi upande wa Kongo; wengi wao ni Wakristo.

Mwaka 2012 wamefufua ufalme wao.


Previous Page Next Page






Songora people English Songora Italian

Responsive image

Responsive image