Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wilaya ya Mtama

Mahali pa Lindi Vijijini (kijani) katika mkoa wa Lindi.

Wilaya ya Mtama ni wilaya moja ya Mkoa wa Lindi. Hadi maka 2019 iliitwa Lindi Vijijini[1]. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 215,764 [2]. Misimbo ya posta huanza kwa namba 652.

Mwaka 2019 rais Magufuli aliagiza makao makuu yajengwe Mtama na wilaya iitwe pia Mtama[3].

  1. President promises to improve southern regions’ infrastructures, Guardian 17.10.2019
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  3. Magufuli amaliza mgogoro wa Lindi Vijijini Ilihifadhiwa 22 Oktoba 2020 kwenye Wayback Machine., tovuti ya Habarileo tar. 16.10.2019, iliangaliwa Agosti 2020

Previous Page Next Page






Lindi Rural CEB Lindi (Distrikt) German Αγροτική Περιοχή Λίντι Greek Lindi District, Lindi English Mtama Spanish Distretto rurale di Lindi Italian Lindi Rural (huyện) VI Lindi Rural ZU

Responsive image

Responsive image